welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Hawa siyo, ila tatizo lao ni wabinafsi sana na wanajiskia Kama wale wa kule kwenye tetemeko,Unazingua nasikia nyie ndo mnafyonza Mali za watu hafu mna wa kill ili mbaki na Mali .
Karibu Pm .Mimi sina kazi Nina miaka 28 kama wewe karibu tuyajenge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hmm wewe ni me kumbe[emoji32][emoji32]Member since 2012,Congratulation kwa kutimiza miaka 8 Jf.
Kigezo kimoja tu kimenitoa nje Umri
Acha hzo fungua uz wko
Picha muhimuUkimpata zaidi ya mmoja wenye sifa hizo nirushie Mimi mmoja mwaya maana umenisemea na mm.
Mimi je unanionaje? ,[emoji23][emoji23]Ukimpata zaidi ya mmoja wenye sifa hizo nirushie Mimi mmoja mwaya maana umenisemea na mm.
Sent using Jamii Forums mobile app
njoo pmHabari za humu ndani wanajamvi,
Mm ni bint mwenye miaka 28 natafuta mwanaume atakaekua mume wangu kama tutafikia muafaka huo.
Sifa zangu
Mkristo nilieokoka nampenda Yesu
Miaka 28 elimu diploma
Naishi Dar es salaam
Kazi bado cjapata ika najishughulisha na biashara ndogondogo
Kabila mchaga kutoka Marangu
Sina mtoto
Sijawahi kuishi na mwanaume
Sifa za mwanaume ninaemtafuta:-
Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Umri miaka 30-42
Awe anakazi/biashara
Alie tayari kuwa mume na baba watoto Mungu atakaotubariki hata kama tusipopata (watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu).
Kabila lolote
Mengine tukutane pm
NB: Niko serious na naomba atakaekuja pm awe serious pia ukiona hujafika umri huo usijisumbue kabisa pia uwe mkristo maana nitakuhoji kuhusu hilo. Nawapenda woote. Mungu awabariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi sifa zipo ila niko dom na kingine nakunywa bia. ila ila tukikosa mtoto ndani ya miaka 2 kwa heriiiHabari za humu ndani wanajamvi,
Mm ni bint mwenye miaka 28 natafuta mwanaume atakaekua mume wangu kama tutafikia muafaka huo.
Sifa zangu
Mkristo nilieokoka nampenda Yesu
Miaka 28 elimu diploma
Naishi Dar es salaam
Kazi bado cjapata ika najishughulisha na biashara ndogondogo
Kabila mchaga kutoka Marangu
Sina mtoto
Sijawahi kuishi na mwanaume
Sifa za mwanaume ninaemtafuta:-
Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Umri miaka 30-42
Awe anakazi/biashara
Alie tayari kuwa mume na baba watoto Mungu atakaotubariki hata kama tusipopata (watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu).
Kabila lolote
Mengine tukutane pm
NB: Niko serious na naomba atakaekuja pm awe serious pia ukiona hujafika umri huo usijisumbue kabisa pia uwe mkristo maana nitakuhoji kuhusu hilo. Nawapenda woote. Mungu awabariki.
Sent using Jamii Forums mobile app