Natafuta mume Mkristu

Natafuta mume Mkristu

Unazingua nasikia nyie ndo mnafyonza Mali za watu hafu mna wa kill ili mbaki na Mali .
Karibu Pm .Mimi sina kazi Nina miaka 28 kama wewe karibu tuyajenge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa siyo, ila tatizo lao ni wabinafsi sana na wanajiskia Kama wale wa kule kwenye tetemeko,
Ukiishi na hawa ukubali chako cha wote na chake ni chake na familia yake hapo mtaelewana.
 
Habari za humu ndani wanajamvi,
Mm ni bint mwenye miaka 28 natafuta mwanaume atakaekua mume wangu kama tutafikia muafaka huo.
Sifa zangu
Mkristo nilieokoka nampenda Yesu
Miaka 28 elimu diploma
Naishi Dar es salaam
Kazi bado cjapata ika najishughulisha na biashara ndogondogo
Kabila mchaga kutoka Marangu
Sina mtoto
Sijawahi kuishi na mwanaume

Sifa za mwanaume ninaemtafuta:-
Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Umri miaka 30-42
Awe anakazi/biashara
Alie tayari kuwa mume na baba watoto Mungu atakaotubariki hata kama tusipopata (watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu).
Kabila lolote
Mengine tukutane pm

NB: Niko serious na naomba atakaekuja pm awe serious pia ukiona hujafika umri huo usijisumbue kabisa pia uwe mkristo maana nitakuhoji kuhusu hilo. Nawapenda woote. Mungu awabariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
njoo pm
 
Habari za humu ndani wanajamvi,
Mm ni bint mwenye miaka 28 natafuta mwanaume atakaekua mume wangu kama tutafikia muafaka huo.
Sifa zangu
Mkristo nilieokoka nampenda Yesu
Miaka 28 elimu diploma
Naishi Dar es salaam
Kazi bado cjapata ika najishughulisha na biashara ndogondogo
Kabila mchaga kutoka Marangu
Sina mtoto
Sijawahi kuishi na mwanaume

Sifa za mwanaume ninaemtafuta:-
Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Umri miaka 30-42
Awe anakazi/biashara
Alie tayari kuwa mume na baba watoto Mungu atakaotubariki hata kama tusipopata (watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu).
Kabila lolote
Mengine tukutane pm

NB: Niko serious na naomba atakaekuja pm awe serious pia ukiona hujafika umri huo usijisumbue kabisa pia uwe mkristo maana nitakuhoji kuhusu hilo. Nawapenda woote. Mungu awabariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi sifa zipo ila niko dom na kingine nakunywa bia. ila ila tukikosa mtoto ndani ya miaka 2 kwa heriii
 
Mume mwema HUOMBWA hutoka kwa Mungu na sio mtandaoni. Hayo ulioyaandika kwetu mwandikie Mungu na uyaandike pia kwenye kibao cha moyo wako ili akitokea candidate nje ya "qualifications ulizoziweka" mwambie Mungu sio huyu... Usicheze mbali na AHADI za Mungu...kutupa nyavu mtandaoni utatoka na KOKORO...Kila la heri na endelea kujitunza.
 
Back
Top Bottom