Waridiua ndo nani mkuuSio waridiua ww umekuja na akaunti mpya?!
Karibu pm mkuuMwenye sifa hizo in Mimi tu hapa Binti yangu, Mimi nina miaka 60. Huu no umri Wa Ku retire kwa lazima but I am not tired yet. PM iko wazi.
Asante sana mkuuNakuombea sana... Usiwalaumu sana vijana bado damu inachemka na hawajajua kwamba ladha ni ileile
Sina maana hiyo ndugu yanguUpo kistrategy sana binti maana kwa umri huo kama ukimpata umekula bingo utapata malipo yake ya pensheni plus mirathi maana hatakuwa na miaka mingi mbele lazima arudi mavumbini halafu utarudi Kunitafuta wa umri wako sasa baada ya kumaliza eda