Habari wakuu
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24.
Elimu yangu ni chuo kikuu
Natafuta mpenzi ambaye atakuja kuwa mume mwenye umri wa miaka 50-60
Nimechoka kuumizwa na vijana wadogo
Kikubwa awe hana mke (walioachwa, waliofiwa mke au ambaye hajawai kuoa)
Kama una vigezo hapo juu karibu pm
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24.
Elimu yangu ni chuo kikuu
Natafuta mpenzi ambaye atakuja kuwa mume mwenye umri wa miaka 50-60
Nimechoka kuumizwa na vijana wadogo
Kikubwa awe hana mke (walioachwa, waliofiwa mke au ambaye hajawai kuoa)
Kama una vigezo hapo juu karibu pm