mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Miaka 28 hujaolewa ,hayaa ngoja nipite tu
Alikua wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 28 hujaolewa ,hayaa ngoja nipite tu
Miaka 28 hujaolewa ,hayaa ngoja nipite tu
miaka 28 hujaolewa ,hayaa ngoja nipite tu
mie ni msichana mwenye umri wa miaka 28,nimeajiriwa serikalini,natafuta mchumba ambaye tunaweza funga pingu za maisha,umri awe na miaka 29-35,awe mkristo rc,elimu degree na kuendelea,mwenye vigezo anipm,nipo serious pls
Mm naqualify yote but umri wangu ni 37 km unakubari hiyo ni pm.mie ni msichana mwenye umri wa miaka 28,nimeajiriwa serikalini,natafuta mchumba ambaye tunaweza funga pingu za maisha,umri awe na miaka 29-35,awe mkristo rc,elimu degree na kuendelea,mwenye vigezo anipm,nipo serious pls
vp ushapata mumemie ni msichana mwenye umri wa miaka 28,nimeajiriwa serikalini,natafuta mchumba ambaye tunaweza funga pingu za maisha,umri awe na miaka 29-35,awe mkristo rc,elimu degree na kuendelea,mwenye vigezo anipm,nipo serious pls
Mkuu wataka chukua kitu? Ha ha haa! Kumbuka hiyo post ya 2013, so kwa sasa hivi inatakiwa uedit umri wa muhusika (28+5=33)vp ushapata mume
duuu nimekosa mke hivi hivi kabisa,sifa zote ninazo mpaka za ziada,elimu mama niliishia darasa la kwanza bimie ni msichana mwenye umri wa miaka 28,nimeajiriwa serikalini,natafuta mchumba ambaye tunaweza funga pingu za maisha,umri awe na miaka 29-35,awe mkristo rc,elimu degree na kuendelea,mwenye vigezo anipm,nipo serious pls