Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]kuolewa ni bahati siku hizi, naona unavoitafuta bahati kwa nguvu................
kila la kheri , ngoja waje. Ila miaka 33 kwa mwanamke ulitakiwa uweke angalau mwanaume wa kuanzia miaka 35 - 45 hapo ungepata wengi wa maana tu. Na kwa sababu na ww umri umesogea maana miaka 33 kwa mwanamke ni mingi sana ungeondoa kigezo cha dini pia maana unaweza ukakosa kabisa wa dini unayotaka wewe.Habari wanajamvi,
Mimi ni mwanamke wa miaka 33, niko Arusha, Mkristo Mcha Mungu.
Natafuta mume miaka 33 hata 36, awe Mkristo Mcha Mungu.
Kujuana zaidi njoo PM.
Weupe eeh!Njoo pm tufahamiane vizuri! napenda wanawake wa kaskazini!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Vipi haudaiwi na bodi ya mikopo?
Naputaa
Weupe eeh!
Hahahaaaa et hela mzuriHahahahaha!
Awe na kazi nzuri, nyumba nzuri, gari nzuri, hela nzuri, anayejua to care vizuri, anayenipenda kwa dhati. .........
Blah blah blah sitaki kusikia