Natafuta mume mwenye umri wa miaka 30 hadi 37

Natafuta mume mwenye umri wa miaka 30 hadi 37

Habari wana JF

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Ninaishi na HIV.

Ni mfupi wa wastani, sio mweupe wala mweusi. Ni mkiristo, ndo nimemaliza diploma ya records management.

Natafuta mwenza wa hali yangu awe mrefu, maji ya kunde, mwembamba, awe na kazi angalau, awe mkristo, atakayenidhiria, atakayenifundisha mengi kuhusu maisha na baadaye kuwa mume na mke.

Aliye tayari karibuni na Mungu awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew mbaguzi. Kwanini mwanume ambae hana hali kama yako humtaki? Tengua hiyo kauli ya kuwa lazima mwanaume awe na hali kama yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana JF

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Ninaishi na HIV.

Ni mfupi wa wastani, sio mweupe wala mweusi. Ni mkiristo, ndo nimemaliza diploma ya records management.

Natafuta mwenza wa hali yangu awe mrefu, maji ya kunde, mwembamba, awe na kazi angalau, awe mkristo, atakayenidhiria, atakayenifundisha mengi kuhusu maisha na baadaye kuwa mume na mke.

Aliye tayari karibuni na Mungu awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao hawataweza kukupiga bumbu kisawasawa tafuta 25 mpaka 28
 
Mkuu, ebu mtafute member mmoja humu ndani ana ID ya Nyeusi Chai/ Ukiibadili hapo mwisho kwa lugha ya bepari utapata maana yake, alafu chukua herufi ya kwanza kwenye sentesi ya pili na kisha unganisha mbele kwenye sentesi ya mwanzo.
Huyu jamaa nasikia anaukwasi mujarab kabisa wallah....[emoji39] [emoji39]
Mungu akutangulie na asimamie hitaji la moyo wako
 
90% ni kwa njia hyo ,,usipende rahisisha mambo mkuu,

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka reliable source yako inayoonyesha kua 90% ni kwa njia hiyo,
Na unaposema 90% basi kuna 10% iliyobaki ambayo si kwa njia hiyo,sasa ikawaje wewe ukamuhukumu mleta mada ikiwa kuna 10% iliyobaki ambayo si kwa njia hiyo??
Acha kumhukumu mtu usiyemjua.
 
Uliupataje ,tuanzie hapo kwanzo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni swali la kitoto sana,mtu anaweza akaupata ila asijue aliupata kwa njia ipi coz kuna njia nyingi,halafu hilo sio lengo la mleta mada,ukijua kaupataje itakusaidia nini? yeye anachotafuta ni mwenza na sio kuweka wazi kaupataje hata kama itakua anajua,
Jitafakari
 
Habari wana JF

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Ninaishi na HIV.

Ni mfupi wa wastani, sio mweupe wala mweusi. Ni mkiristo, ndo nimemaliza diploma ya records management.

Natafuta mwenza wa hali yangu awe mrefu, maji ya kunde, mwembamba, awe na kazi angalau, awe mkristo, atakayenidhiria, atakayenifundisha mengi kuhusu maisha na baadaye kuwa mume na mke.

Aliye tayari karibuni na Mungu awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app
Vp ile dawa ya HIV ilikuwa inaitwa uboho haijaanza uzwa pharmacy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepitia, comment zote lakini sijaon hata mtu mmoja ambae ameonyesha nia ya au hitahji la huyo dada, kisa aamesema ana HIV. lakini kumbukeni hao mnaokutana nao kila siku hawajawaambia status yao. Ila mnakula mpaka chumvi.

Pia Njia za kupata ukimwi zipo nyingi mfano
  1. Kuwekewa damu yenye virusi,
  2. Kuzaliwa na mama mwenye virusi (PMTCT)
  3. Kushea vitu vitu vyenye ncha kali na mtu mwenye virusi
  4. Kwa njia Ngono ( Popular means of transmissions).
Hata hivyo mtu mwenye maambukizi ya HIV hazuiliwi kuoa au kuolewa, isipokuwa ni muhimu kuonana na mtaalam
kabla hajapata ujauzito ili amshauri.

Lakini mtu huyu anaweza kuolewa na kuzaa na atafuata masharti kuna uewzekano mkubwa mtoto aliyepo tumboni asipate maambukizi. Tafiti zimeonyesha wamama wanaotumia dawa za ART wakati wa ujauzito wana 95% ya kutoambukiza watoto wao.
 
Back
Top Bottom