Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kuolewa hapana ila haikuhusu maisha yangu. Wala sijakuomba uwe unayahangaikiaWewe ushaolewa kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuolewa hapana ila haikuhusu maisha yangu. Wala sijakuomba uwe unayahangaikiaWewe ushaolewa kwani?
Huwa hawasemi moja kwa moja lakini ni ukweli Wanawake wengi hasa wa Kibongo hupendelea kudate na Mwanaume anayejiwezaSema suponsa
hio sakina,white rose' manguruweni; elkurei, kibanda cha maziwa, shule ya mayriver panda mpaka kiding'a tabia zilinishindaHauna bahati, mimi wanawake wa Arusha No Way tena mbaya zaidi Sakina!
Ni warembo ila la! Hapana.
Nenda post ya kwanza kisha piga simu upangiwe siku ya intavyuuNipo hapa kuna nini?
Wana tabia gani Mkuu tuwaepushe Vijana wetu wa Kiume?hio sakina,white rose' manguruweni; elkurei, kibanda cha maziwa, shule ya mayriver panda mpaka kiding'a tabia zilinishinda
Mbon km kichwa hakijatulia nimekuuliza umeolewa, hayo majibu mengine sijakuulizaKuolewa hapana ila haikuhusu maisha yangu. Wala sijakuomba uwe unayahangaikia
Siku ya intefyu tena kufanyaje?Nenda post ya kwanza kisha piga simu upangiwe siku ya intavyuu
Vijana wa kiume wa huko hawana tofauti na mabinti.Wana tabia gani Mkuu tuwaepushe Vijana wetu wa Kiume?
Sasa yeye ana tatizo gani kasema yeye ni binti sio mvulana?Vijana wa kiume wa huko hawana tofauti na mabinti.
Duh..........nilikuwa sijuiVijana wa kiume wa huko hawana tofauti na mabinti.
Kuna mtu ameshituka kwa alichokisikia anataka amtoe kijana wake maeneo hayo.Sasa yeye ana tatizo gani kasema yeye ni binti sio mvulana?
Sipendi kuchart na watu ambao wanamidomo michafuMbon km kichwa hakijatulia nimekuuliza umeolewa, hayo majibu mengine sijakuuliza
vibonge wakijitusua wanaenda kutana na kidume kibonge mwenzao. Dume hilo.Hatimaye Wanaume wanene
babu si ulitaka kampenzi kapya...kula chuma hikoHuwa hawasemi moja kwa moja lakini ni ukweli Wanawake wengi hasa wa Kibongo hupendelea kudate na Mwanaume anayejiweza
Ndiyo maana binafsi napenda kutafuta hela kila siku hata kama itakuwa ni Jumapili baada ya Ibada
Pension yangu ni limited Mjukuu, asije kuikausha bure nikakosa hata hela ya kununua tumbaku 😅🏃🏃🏃babu si ulitaka kampenzi kapya...kula chuma hiko
Kwa hio huyu sio binti?Kuna mtu ameshituka kwa alichokisikia anataka amtoe kijana wake maeneo hayo.
😀😀😀😀😀😀😀 au babu we sio mnenePension yangu ni limited Mjukuu, asije kuikausha bure nikakosa hata hela ya kununua tumbaku 😅🏃🏃🏃
Kichwa chako hakijatulia emu tulia kwanzaSipendi kuchart na watu ambao wanamidomo michafu