Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Unene niutolee wapi na shughuli zetu za shamba zilivyo nyingi😀😀😀😀😀😀😀 au babu we sio mnene
Huyo analenga wenye Vicent, Mimi Babu yenu nina hela ya Tumbaku tu 🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unene niutolee wapi na shughuli zetu za shamba zilivyo nyingi😀😀😀😀😀😀😀 au babu we sio mnene
😆😆😆hela ya Tumbaku
Eh Mungu wangu nusu roho ya katoto kawatu
Bora tuwe wakweli, kuna Wazee sisi umri umeenda na hatuna hela kabisa.😆😆😆
Wewe mwe potelea mbali ushindwe saivi namimba mwaya nalea ulikata kuweka sijui lishangazi basi nimewekewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kumbe una mimba ndio maanaWewe mwe potelea mbali ushindwe saivi namimba mwaya nalea ulikata kuweka sijui lishangazi basi nimewekewa
Sikupendagi ujueKumbe una mimba ndio maana
Basi sorry mupenzi haya unanependa sasaSikupendagi ujue
Nimekufanyaje tena mauaIntelligent businessman njoo unisaidie huyu Mpetde please
Ngoja ajeNimekufanyaje tena maua
Mudi?Pepo wa utapeli toka.
Toka kwa jina la mudi
Mudi?
Binti Maua nime kukosea nini 🤔, Hadi unigawe hovyo😂😂.Intelligent businessman njoo unisaidie huyu Mpetde please
Jamani best yangu nimekuita sana uje unisaidie huyu binadamuBinti Maua nime kukosea nini 🤔, Hadi unigawe hovyo😂😂.
👉 Lenie ona navyo pelekwa😂😂