Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Lenie ona mwenzio😂🤒, doli doli 🏃🏃Hapana bado sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lenie ona mwenzio😂🤒, doli doli 🏃🏃Hapana bado sana
I belong to Ms eyes 🤗🤒Yaani nyie muoane tu🤣🤣
Unique Flower mume huyo usimpoteze
😂😂😂Eh Mungu wangu nusu roho ya katoto kawatu
Shusha umri kidogo. Angalau nijaribu.Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Wana nitaka ila mi nakutaka wewe 🤗 Ms eyesNaona wanataka kuninyakulia😭
Umbea huu😂😂Aririririririiii
Tangazo hili bila picha ni ubatili mtupu.Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Na ndo kosa wanalo lifanya, huyo men with stability.Atakuwa amewalenga wenye financial stability
Hataki mwanaume wa kumwambia kuna deal nalisubiria 😅🙌
Duh!....Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50
Utamaduni wetu waafrika kijana ni mvulana.Kwa hio huyu sio binti?
Bila shaka umejiridhisha hao wa 20's wenzio hawana sifa muafaka 🤣🤣🤣🤣!!Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Wanawake ni viumbe ambao ni vigumu sana kuwaelewa!!
Utakufa kwa presha kwa kweli. 💨💨💨😅Pension yangu ni limited Mjukuu, asije kuikausha bure nikakosa hata hela ya kununua tumbaku 😅🏃🏃🏃
Dah nipo chuga pia sema ivyo vigezo sina hata kimoja japo umri wangu 27 tungetaftana tuenjoy tu one time two time huku ukitafta uyo mbabaHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Hawa ni wale maslay qeen wenye maduka ya nguo kuanzia mianzini mpaka kwa Idd ,hapo nje unakuta amepaki ki ISTAtakuwa amewalenga wenye financial stability
Hataki mwanaume wa kumwambia kuna deal nalisubiria [emoji28][emoji119]