Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello!Mimi nipo tayari. Njoo DM tuyajenge.Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
kama serious nitafuteHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Umeshajiuliza ulikosea wapi mpaka wawe wanakupita tu? Wanawake wa kwenye mitandao mkipewa mashavu mnapandisha mabega sana! Hujasikia deep pond anavoteseka na ndoano?Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Sakina kuna nini?Hauna bahati, mimi wanawake wa Arusha No Way tena mbaya zaidi Sakina!
Ni warembo ila la! Hapana.
🙈🙈🙈asiwe mfupi
2024 nabadirisha chuma wewe.Afadhali ulivyomkosa maana hekaheka za huyu tu mmoja nakonda,, wawili si watanitoa roho 🤒
Tuma picha mbona kama demu wangu wa SakinaHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Umeanza habari zako😒😒2024 nabadirisha chuma wewe.
Walikufanyaje?Afadhali wa Sakina kuliko wa Njiro.Njiro acha tu.
hapo nakaziaHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Alinitapeli na nikamngoja muda mrefu bila kutokea licha ya kutimiza mahitaji yake yote.Ni miaka 10 imepita lakini siwezi kusahau.Kila demu baada ya hapo akiniambia anaishi Njiro warning lights zinawaka kichwani naamua ku pass.Walikufanyaje
😂😂😂😂😂😂 Mtoa mada utaliwa na kuchunwa juu. Huyu ni mume wangu tuna watoto watatu.Njoo pm chapu mamiii jf nzima mwanaume niliyebaki mwenye mapenz ya kweli ni mimi pekee
Hatari Tabu mtoto wa watu! hataki mikiki mikiki mara kaa hv mara Tanua hapa, mara binuka kidogo! anataka akarelax!