Natafuta mume, nina miaka 24

Natafuta mume, nina miaka 24

Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Hello!Mimi nipo tayari. Njoo DM tuyajenge.
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
kama serious nitafute
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Umeshajiuliza ulikosea wapi mpaka wawe wanakupita tu? Wanawake wa kwenye mitandao mkipewa mashavu mnapandisha mabega sana! Hujasikia deep pond anavoteseka na ndoano?
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Tuma picha mbona kama demu wangu wa Sakina
 
Afadhali wa Sakina kuliko wa Njiro.Njiro acha tu.
 
Huyu analenga pesa anajua akiolewa na mzee atakufa mapema kisha arithi pesa abaki mjane hana nia nyingine kaskazini ya malengo
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
hapo nakazia
 
Walikufanyaje
Alinitapeli na nikamngoja muda mrefu bila kutokea licha ya kutimiza mahitaji yake yote.Ni miaka 10 imepita lakini siwezi kusahau.Kila demu baada ya hapo akiniambia anaishi Njiro warning lights zinawaka kichwani naamua ku pass.
 
Njoo pm chapu mamiii jf nzima mwanaume niliyebaki mwenye mapenz ya kweli ni mimi pekee
😂😂😂😂😂😂 Mtoa mada utaliwa na kuchunwa juu. Huyu ni mume wangu tuna watoto watatu.
Nipo tu Moshi kuja kula sikukuu.
 
Back
Top Bottom