Natafuta mume, nina miaka 29

Natafuta mume, nina miaka 29

Hello mimi ninamiaka 29 ...
Ninamtt mmoja
Najishghulisha na ususi
Natafuta mume kuanzia miaka 30_70
Awe na hofu ya mungu ..awe na upendo wakweli awe anajishughulisha
Hako kamkakati ka mzee wa 70 nimekapenda. Yaani akijitahidi sana baada ya miaka 20 tu unamiliki mali zake zote, utakuwa na miaka 49
 
Pia usisahau kuwa unajitoa out unaenda kukaa sehemu nzuri kabisa unapata kinywaj8 chako, ukiwa unajifungia ndani, hamna kaka atakayekuona.
Hata mkiwa mnatoka huwaga mnawakazia kwa kuwanyima namba wanaume wanaowaomba namba, swala sio kutoka unaweza ukawa unatoka na bado ukawa na maringo kama yote
 
Hello mimi ninamiaka 29 ...
Ninamtt mmoja
Najishghulisha na ususi
Natafuta mume kuanzia miaka 30_70
Awe na hofu ya mungu ..awe na upendo wakweli awe anajishughulisha
Hofu ya Mungu huwa mnamaanisha nini?

Mnatuchosha.
Mkule ujana na wengine uzeeni mtafute wenye hofu ya Mungu wakati ujanani mliwakataa wacha Mungu mliwaona washamba na fukara...fambaf sana
 
Hello mimi ninamiaka 29 ...
Ninamtt mmoja
Najishghulisha na ususi
Natafuta mume kuanzia miaka 30_70
Awe na hofu ya mungu ..awe na upendo wakweli awe anajishughulisha
mmh 70 🌚….okay. All the best mrembo
 
Back
Top Bottom