Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😀😀Ndio yeyote huyo...anatafutwa kufa na kuzikana arithi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀Ndio yeyote huyo...anatafutwa kufa na kuzikana arithi
We ushapata?Pia usisahau kuwa unajitoa out unaenda kukaa sehemu nzuri kabisa unapata kinywaj8 chako, ukiwa unajifungia ndani, hamna kaka atakayekuona.
Hello mimi ninamiaka 29 ...
Ninamtt mmoja
Najishghulisha na ususi
Natafuta mume kuanzia miaka 30_70
Awe na hofu ya mungu ..awe na upendo wakweli awe anajishughulisha
Watu kama nyie ndio taipu yangu nawaelewaga sana Masingo Maza,,,Tuwasiliane basi tufunge Pingu za Maisha,,,na sio ndoa!!Hello mimi ninamiaka 29 ...
Ninamtt mmoja
Najishghulisha na ususi
Natafuta mume kuanzia miaka 30_70
Awe na hofu ya mungu ..awe na upendo wakweli awe anajishughulisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume wa miaka 70 si ni mstaafu madam?, sasa atakuwa anajishughulisha vipi? au ni mishughulisho ya uchakataji [emoji848]
🤣🤣🤣 mshaanza kukokotoa mafao ya ustaafu 🙌😂😂😂😂Mambo ya pspf
Nina 65years njoo iboxHello mimi ninamiaka 29 ...
Ninamtt mmoja
Najishghulisha na ususi
Natafuta mume kuanzia miaka 30_70
Awe na hofu ya mungu ..awe na upendo wakweli awe anajishughulisha
Mzee mengiAna akili sana huyu. Anataka urithi baada ya mzee wa 70 kuvuta
Soon ataanza kuchapiwa kwa gharama zakeMzee mengi
Mzee leo??Soon ataanza kuchapiwa kwa gharama zake
70-29=41.ila 29 hadi 70 parefu mno
Asisaau kwenda na mwanawe hili mtu akimtongoza lazima atauliza huyu nani kupata swaga utajibj mwanao so hakutakuwa na tatizo tenaPia usisahau kuwa unajitoa out unaenda kukaa sehemu nzuri kabisa unapata kinywaj8 chako, ukiwa unajifungia ndani, hamna kaka atakayekuona.