Natafuta mume, nina miaka 29

Natafuta mume, nina miaka 29

Nyie mnakatisha watu tamaa kwa comment zenu si nzuri ...kwani ata akiwa na miaka 70 akinifia sawa ujue ilipangwa na mungu maneno yenu yanazidi nitia nguvu ....alfu naongezea miaka ata awe na miaka mia ni sawa tukiriziana [emoji57][emoji57][emoji57]
Asante. Hatimae nimefikiwa
 
Hello,

Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.

Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Wakati unakula ujana ulisema hutaki kuolewa sasa baada ya kuzalishwa na uzee unakaribia ndio unatafuta mchumba kwani wale uliokuwa nao ujanani hawakutaki kwa nini.
 
Hello,

Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.

Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Game ngumu Ni ile upo ugenini na Aggrigate Ni 1-0, wazee wa mikeka tumeelewana sasa
 
Hello,

Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.

Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Vipi Mama msusi, mwaka huu wa 2023 nimetimiza miaka 73! Na mimi naruhusiwa kutuma maombi?
 
Hello,

Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.

Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Kaolewe na aliyekuzalisha
 
Nipo hapa..na mimi ni msusi tutasaidiana kazi maisha yataenda fresh kabisa!
 
Back
Top Bottom