Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Unatafuta pa kufia mkuuNina 65years njoo ibox
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatafuta pa kufia mkuuNina 65years njoo ibox
Asante. Hatimae nimefikiwaNyie mnakatisha watu tamaa kwa comment zenu si nzuri ...kwani ata akiwa na miaka 70 akinifia sawa ujue ilipangwa na mungu maneno yenu yanazidi nitia nguvu ....alfu naongezea miaka ata awe na miaka mia ni sawa tukiriziana [emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ila wewe jamaa weweMwanaume wa miaka 70 si ni mstaafu madam?, sasa atakuwa anajishughulisha vipi? au ni mishughulisho ya uchakataji [emoji848]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kudadeqqqUmesema mpaka 70?
Wakati unakula ujana ulisema hutaki kuolewa sasa baada ya kuzalishwa na uzee unakaribia ndio unatafuta mchumba kwani wale uliokuwa nao ujanani hawakutaki kwa nini.Hello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Game ngumu Ni ile upo ugenini na Aggrigate Ni 1-0, wazee wa mikeka tumeelewana sasaHello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Vipi Mama msusi, mwaka huu wa 2023 nimetimiza miaka 73! Na mimi naruhusiwa kutuma maombi?Hello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Huyo hatafuti Mume,naona anatafuta tu Baba Mlezi wa kumlelea mwanawe!!Mwanaume wa miaka 70 si ni mstaafu madam?, sasa atakuwa anajishughulisha vipi? au ni mishughulisho ya uchakataji [emoji848]
Kaolewe na aliyekuzalishaHello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
😂😂😂😂Kaolewe na aliyekuzalisha
Duh 70!!?Hello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Wanawake hamuachagi hata mifupa😁😁😁😂😂😂😂Mambo ya pspf
Njoo pmHello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
kusema 30-70 manaake kapanua wigo kwa watu woteMwanaume wa miaka 70 si ni mstaafu madam?, sasa atakuwa anajishughulisha vipi? au ni mishughulisho ya uchakataji 🤔
HahahahaMwanaume wa miaka 70 si ni mstaafu madam?, sasa atakuwa anajishughulisha vipi? au ni mishughulisho ya uchakataji 🤔
Nitafute kwenye namba hi 0654317732Hello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.