- Thread starter
- #101
Sifa gani hizo???Nimekosa sifa mbili tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa gani hizo???Nimekosa sifa mbili tu
Nawajua sana Wanyamwezi nenda Tabora ukaone akina mama wengi ni vichaa kisa mahusiano. HawafaiHizo imani zako tu uchawi ni maamuzi ya mtu kila kabila wachawi wapo na wacha Mungu wapo!!
Una miaka mingapi??Vigezo vyote ninavyo ila apo kwenye umri sasa
Njoo pm tuyajengeHabarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
Hayo ni maelewano na hiyo ni hatua ya mwisho kabisa tukishaelewanaKiasi cha mahari hakijatajwa,cjui ni 20ml kama yule.
Imani hizoNawajua sana Wanyamwezi nenda Tabora ukaone akina mama wengi ni vichaa kisa mahusiano. Hawafai
Dini mkuuSifa gani hizo???
Imani pia uponya...Wanyamwezi hawafai. Mke wa kuoa ni Msukuma, Muha na Mfipa na msukuma awe wa Mwanza.Imani hizo
OK unataka mtu usiyemjua wa kukutana jamii forums, watsapp, Facebook etc mitandaoni?Tatizo gani sasa wala sina tatizo labda nimepangiw jamii forum ndio nitapata mwenzangu huwezi jua ya Mungu mengi.
inauma alooWagalatia tukasome Wimbo ulio bora. Hapa hamna chenu.
NdioNi bikra?
Kwanini mtazame kwa. Macho???Haya, sasa si wengine tutazame kwa macho tu
Wala haitovunjika najiiaminiOK unataka mtu usiyemjua wa kukutana jamii forums, watsapp, Facebook etc mitandaoni?
Kuoa au kuolewa kama hayo makundi nimetaja kama wewe hata moja hujapata ndoa hiyo itavunjika mbele tena vibaya mbekmle safari no matter what Mark my words