bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Tafuta aliyenona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini comments kama hizi sikutani nazo katika nyuzi ambazo mwanamke mkristo anatafuta mwanaume mkristo mwenzie?dini ya nini dunia ya leo? We una asili ya ubaguzi, kwanini usiwatafute msikitini? Majaliwa muislamu mke wake Mary, hamjifunzi tu kutoka kwa wakubwa?
Vigezo, sie wengi bado watoto [emoji23]Kwanini mtazame kwa. Macho???
Single dady hututaki?Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
[emoji1787][emoji1787]Single dady hututaki?
Single dady ??? Sijakuelewa[emoji1787][emoji1787]
HahahahaTafuta aliyenona
Sitaki watotoVigezo, sie wengi bado watoto [emoji23]
C ndio wewe au!????Tafuta aliyenona
Naitwa Yohana Mbatizaji, ila wanangu wa faida kitaa wananiita Mehmet.Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
Nisaidie mahari tu nipo tayariC ndio wewe au!????
Sindo apo tukaamua kuwaangalia kwa machoSitaki watoto
PowaSindo apo tukaamua kuwaangalia kwa macho
Wee mnyamwezi wa wapi sikonge, nzega au ipole?Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
IgungaWee mnyamwezi wa wapi sikonge, nzega au ipole?
Ah kwa bwana rostam azizIgunga
NdioAh kwa bwana rostam aziz
Hata kumuita mtu mbaguzi nao ni ubaguzi toshadini ya nini dunia ya leo? We una asili ya ubaguzi, kwanini usiwatafute msikitini? Majaliwa muislamu mke wake Mary, hamjifunzi tu kutoka kwa wakubwa?
Hasira za nini baba askofu. Hivyo ndio vigezo vyake, take easy.dini ya nini dunia ya leo? We una asili ya ubaguzi, kwanini usiwatafute msikitini? Majaliwa muislamu mke wake Mary, hamjifunzi tu kutoka kwa wakubwa?