Natafuta mume, nina miaka 30

Hizo imani zako tu uchawi ni maamuzi ya mtu kila kabila wachawi wapo na wacha Mungu wapo!!
Nawajua sana Wanyamwezi nenda Tabora ukaone akina mama wengi ni vichaa kisa mahusiano. Hawafai
 
Njoo pm tuyajenge
 
Tatizo gani sasa wala sina tatizo labda nimepangiw jamii forum ndio nitapata mwenzangu huwezi jua ya Mungu mengi.
OK unataka mtu usiyemjua wa kukutana jamii forums, watsapp, Facebook etc mitandaoni?

Kuoa au kuolewa kama hayo makundi nimetaja kama wewe hata moja hujapata ndoa hiyo itavunjika mbele tena vibaya mbele ya safari no matter what Mark my words
 
Dah! Hapa nilishakosa siku tangazo likiwekwa humu la anayetafuta mwanaume yoyote anayepumua mje mnitag jamani!
 
OK unataka mtu usiyemjua wa kukutana jamii forums, watsapp, Facebook etc mitandaoni?

Kuoa au kuolewa kama hayo makundi nimetaja kama wewe hata moja hujapata ndoa hiyo itavunjika mbele tena vibaya mbekmle safari no matter what Mark my words
Wala haitovunjika najiiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…