Just your mobile
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] planett bhanakwa huo umri wa unaemtaka huwezi kumpata aliyecheza akachoka. MTU aliyecheza akachoka ni kuanzia miaka 97 na kuendelea
0.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] awe kashawai kutekwaAwe ameumizwa na nini?silaha au mapenzi?
Neno Mkuu halinogi kwa mdadaKila LA heri mkuu, utampata tu
Hongera,umekua very humble binti,Mungu akusaidie upate mtu wa kweli,hujaweka masharti kibao km wengine mara mweupe,mrefu,mwenye gari,mweny kazi nzuri,wanadhani wameumba wao.Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali
sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza
Mfuate pm!..muelewane naeJust your mobile
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mpka leo bado hujampata tu
Ndugu wewe bado sana yule wako atakuja humu huwezi kupata mwanaume utaishia kudangangwa na hiyo pesa yako unayotafuta wakuibie akina Mario wamejaaa teleNi binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali
sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza