Natafuta mume njoo tuyajenge

Acha kumkatisha tamaa na kutubania, wengine tunataka mwanamke wa kuoa kwa nia ya dhati kabisa.Sasa kama fursa imetokea kwanini tusichangamkie?
 
Hujawahi pata tu mkuu!!?
 
Njoo pm
 
Yaani kweli kama umeniandikia mm. Pm yangu inagoma nipo more than serious. Naomba ni pm.
 
Njoo mama huenda sifa nikawa nazo za kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…