monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MZee wa LSSE1 chukua goma🤣🤣🤣1. Kuna codes hapa umezificha...
Unadhani kuna mwanaume anachukia watoto?
We sema una mtoto, halafu utuambie baba ake yuko wapi?
2. Unamtaka mwenye TGS level gani?
#YNWW
Daah mkuu huu ni udhalilishajikm ngp zinasoma ?
Nna vigezo vyote ila nna mke nataman kuwa na mke mdogo, si kwamba nimemchukia mke wangu, nampenda sana ila nina sababu binafsiMim ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe ,urefu wastan , umbo la mwanamke waki Tanzania
Namuamini Mungu
Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki ,mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thaman yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kaz ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Niko Shangalai hapaMim ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe ,urefu wastan , umbo la mwanamke waki Tanzania
Namuamini Mungu
Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki ,mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thaman yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kaz ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Safi huna vigezo vingi utapata umpendaeMim ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe ,urefu wastan , umbo la mwanamke waki Tanzania
Namuamini Mungu
Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki ,mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thaman yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kaz ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Haiombwi hivyoJamani tuache kuwabeza dada zetu.kumbukeni hata nyie mna dada na watoto wa kike,ukiona mtu anatafuta mme humu mjue ana hitaji kweli,tujifunze kuwavumulia na kuwahurumia,tunatumia ID fake humu usikute ni dada zenu,kumuuliza kama ana marinda ni udhalilishaji
Pole sana dada.
Njoo pm mi pia sina mke