Manyahe
JF-Expert Member
- Mar 17, 2023
- 487
- 883
Kama hana oʞɐ⊥Kaa utulie. Uwe mzuri na tabia nzuri utapata mume. Atakutafuta wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hana oʞɐ⊥Kaa utulie. Uwe mzuri na tabia nzuri utapata mume. Atakutafuta wewe
Kama hana oʞɐ⊥Kaa utulie. Uwe mzuri na tabia nzuri utapata mume. Atakutafuta wewe
Njoo pm, tuyajengeHabarii Wana JF
Natafuta mume
Nina umri miaka 26
Mkristo
Mjasiriamali
Natafuta mwanaume aliye serious tuanzishe mahusiano endelevu kisha ndoa
Awe mkristo
Asiwe ameoa
Umri anizidi kuanzia 28,29,30...
Sababu ya kuja JF nipo mazingira ambayo dini tofauti na yangu imeshika hatamu na wazazi wangu wamekwisha kataa wanaume wawili waliokuja wa dini tofauti Kiukweli napata walio serious ila dini tofauti na wazazi wangu ni viongozi wakubwa kanisani
PLS:KAMA UPO SERIOUS TUKUTANE PM
Naombeni jamani msi attack post yangu sitaweza kuwajibu na nitajisikia vibaya
MUNGU AWABARIKI
mmh huyo atapenda mbeba tofari?Mzee wa Njunju uje sasa
Be careful sweetheart.🙏Yupo wapi dear
Bahati yako umejitetea mapema, hapo Mimi sina neno nilienae anatoshaNaombeni jamani msi attack post yangu sitaweza kuwajibu na nitajisikia vibaya.
Jaribu Kaka, SI mna anza maisha wotemmh huyo atapenda mbeba tofari?
Tupo tatizo lipo kwenu mnataka wazee 40+Huku hakuna mume rafiki.
Na mimi sio mwepesi hivo mpendwa wangu,mimi siharakishi Wala si kuwa sipati watu serious ila dini tofauti,kingine unachotakiwa kuelewa uzazi na udogo,sisi wanawake tuna limit ya umri wa kuzaa tunatofautiana kwenye mitazamo siwezi kataa mtazamo wako,ubarikiwe
mi nina 28 sawa nina watoto wawili na sina kazi nakuoa ila baada ya mda naoa mwingine kama upo tayari nakuja Pm nauli naandaaHabarii Wana JF
Natafuta mume
Nina umri miaka 26
Mkristo
Mjasiriamali
Natafuta mwanaume aliye serious tuanzishe mahusiano endelevu kisha ndoa.
Awe mkristo
Asiwe ameoa
Umri anizidi kuanzia 28, 29, 30.
Sababu ya kuja JF nipo mazingira ambayo dini tofauti na yangu imeshika hatamu na wazazi wangu wamekwisha kataa wanaume wawili waliokuja wa dini tofauti Kiukweli napata walio serious ila dini tofauti na wazazi wangu ni viongozi wakubwa kanisani.
PLS: KAMA UPO SERIOUS TUKUTANE PM
Naombeni jamani msi attack post yangu sitaweza kuwajibu na nitajisikia vibaya.
MUNGU AWABARIKI
Huyu anajitambua sanaNa mimi sio mwepesi hivo mpendwa wangu,mimi siharakishi Wala si kuwa sipati watu serious ila dini tofauti,kingine unachotakiwa kuelewa uzazi na udogo,sisi wanawake tuna limit ya umri wa kuzaa tunatofautiana kwenye mitazamo siwezi kataa mtazamo wako,ubarikiwe
Habarii Wana JF
Natafuta mume
Nina umri miaka 26
Mkristo
Mjasiriamali
Natafuta mwanaume aliye serious tuanzishe mahusiano endelevu kisha ndoa.
Awe mkristo
Asiwe ameoa
Umri anizidi kuanzia 28, 29, 30.
Sababu ya kuja JF nipo mazingira ambayo dini tofauti na yangu imeshika hatamu na wazazi wangu wamekwisha kataa wanaume wawili waliokuja wa dini tofauti Kiukweli napata walio serious ila dini tofauti na wazazi wangu ni viongozi wakubwa kanisani.
PLS: KAMA UPO SERIOUS TUKUTANE PM
Naombeni jamani msi attack post yangu sitaweza kuwajibu na nitajisikia vibaya.
MUNGU AWABARIKI
Sawa huo umri unao tafuta je umejipanga kwa vita ya majimaji war.mbeleni utakumbuka shuka kumekuchaHabarii Wana JF
Natafuta mume
Nina umri miaka 26
Mkristo
Mjasiriamali
Natafuta mwanaume aliye serious tuanzishe mahusiano endelevu kisha ndoa.
Awe mkristo
Asiwe ameoa
Umri anizidi kuanzia 28, 29, 30.
Sababu ya kuja JF nipo mazingira ambayo dini tofauti na yangu imeshika hatamu na wazazi wangu wamekwisha kataa wanaume wawili waliokuja wa dini tofauti Kiukweli napata walio serious ila dini tofauti na wazazi wangu ni viongozi wakubwa kanisani.
PLS: KAMA UPO SERIOUS TUKUTANE PM
Naombeni jamani msi attack post yangu sitaweza kuwajibu na nitajisikia vibaya.
MUNGU AWABARIKI
Kama ni mweusi basi ni PM kama mweupe nipotezeeHabarii Wana JF
Natafuta mume
Nina umri miaka 26
Mkristo
Mjasiriamali
Natafuta mwanaume aliye serious tuanzishe mahusiano endelevu kisha ndoa.
Awe mkristo
Asiwe ameoa
Umri anizidi kuanzia 28, 29, 30.
Sababu ya kuja JF nipo mazingira ambayo dini tofauti na yangu imeshika hatamu na wazazi wangu wamekwisha kataa wanaume wawili waliokuja wa dini tofauti Kiukweli napata walio serious ila dini tofauti na wazazi wangu ni viongozi wakubwa kanisani.
PLS: KAMA UPO SERIOUS TUKUTANE PM
Naombeni jamani msi attack post yangu sitaweza kuwajibu na nitajisikia vibaya.
MUNGU AWABARIKI