Natafuta mume tuoane

Umekejeli dini za watu bila kutumia lugha ya kificho, sio sawa hiyo, rekebisha mara moja
 
vigezo vyako nimefuzu tatizo kwa upande wangu linakuja hasa pale utakapokuwa unatumia kitwanga ndio umeshanikosa 🙁 kwa uzoefu wangu ma single parent ni walevi sijapata ona
Kweli aisee..hivi hilo huwa linasababishwa na nini? Au stress?
 
Huo ndio ukweli wa mleta uzi
Yeye kaandika kwa ufupi wala hajatoa kejeli kwa dini ya mtu, kasema isipokua msabato na hajasema kwanini hataki msabato, sasa wewe umekuja kuandika mara wanaabudu masanamu wanaabudu wafu we unaona umetumia busara?

Una uhakika huo usabato wako ndio hauna dosari?

Mimi sio mkiristo ila sijapenda lugha yako aisee.

Kama wasabato wamekamilika kiasi hicho basi tuambie kwanini wasabato hawana mchungaji mwanamke wala hawataki mchungaji mwanamke ilihali muanzilishi wa dini ya kisabato ni mwanamke Ellen G. White na vitabu vyake mnasoma sana, tuambie ni kwanini iko hivi??

Hakuna dini iliyokamilika cha msingi jitahidi kukamilisha nafsi yako maana ndio itakayoingia peponi au motoni.
 
Pole
 

Sifa zote ninazo ila
Mimi najua kusoma na kuandika tu
Naweza kuwa mkuu wa mkoa usinibanie
 
Mkuu inaonekana imekuuma haswa
 
pole wewe mzee
.dunia inaenda mbele wewe bado unawaza ki miaka ya 70

ame mpita two yrs unasema ni marioo!! hahahaa
unaendelea kunishangaza mkuu.
Tatizo la utoto ndilo hilo kushupalia jambo moja. Mwenyewe kakueleza kuwa hapendi umarioo na kubemenda wewe umekazana na kutafuta free p. Kwanini uhangaike na waliokuzidi umri wakati ulowazidi wanahangaika? Unadhani kuoa ni papuchi tu? Hivi unajua kwanini waliooa ndio wachepukaji wakubwa? Unajua kunajua kuna kuambiwa njoo nikupe k nijilalie etc. Ukiwa dogo kubali kuitwa dogo kama ulivyoniita mshamba nikakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…