Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Hujui lolote weweMkuu imani ya mtu si jambo la kuchezea,kwani kosa lake nini? Amesema asiwe msabato , wewe unawashwa na nini mpaka kumshambulia hivyo? Awe anaabudu sanam au haabudu hilo wewe halikuhusu kbsa pamoja na yote hayo bado hataki msabato...tukianza kuuchambua usabato hata wewe hutakuwa huna sifa za kuwa msabato maana unaivunja kila Leo.
Twende kwa hoja acha kutoa povu bila points.Hujui lolote wewe
Wewe utakuwa mfuasi wa manabii wa hapa tz mnaouziwa chumvi, maji na leso kwa 10000
Halafu unaonekana usabato mwenyewe huujui maskini , umekaririshwa tu ndiyo maana unakurupuka kuvamia thread za wenzio ambazo hazihusiani unachotolea povu.Hujui lolote wewe
Wewe utakuwa mfuasi wa manabii wa hapa tz mnaouziwa chumvi, maji na leso kwa 10000
Inaonekana....Twende kwa hoja acha kutoa povu bila points.
Wasabato ndiyo waliomsulubisha Yesu, wasabato wanapinga uwepo wa Roho mtakatifu, wasabato wanapinga wokovu upatikanao kwa njia ya imani . kwahiyo mkuu huyu Dada anawapinga kwasababu ninyi ni wapinga kristo na huyo mama yenu anayawajaza ujinga Helen white
Ndiyo hicho unachokijua tu huna kingine? Pole sana . acha kudandia vitu usivyovijua wewe nenda kasome mawazo ya huyo mpotoshaji mkuu Helen white uzidi kupotea achana na ukristo maana umekushindaInaonekana....
Haya wewe unayeujua una nn zaidi ya kuabudu sanamu la isis mungu wa wamisri?
Inaonekana wewe ni muabudu sanamu mzuri sana
HiviNdiyo hicho unachokijua tu huna kingine? Pole sana . acha kudandia vitu usivyovijua wewe nenda kasome mawazo ya huyo mpotoshaji mkuu Helen white uzidi kupotea achana na ukristo maana umekushinda
Nikwambie hujui unachoongea bora ukae kimya maana ukizidi kupost unazidi kuufunua upumbavu wako.Hivi
KUABUDU MASANAMU
KUFANYA IBADA ZA WAFU
KUUZA MAJI
KUUZA CHUMVI ETI NI UPAKO
USHOGA MAKANISANI MWENU
KUCHEZA MAYENU KWENYE IBADA ZENU
ndio ukristo?
Acha nifurahi aiseee
Hama usabato,Wasabatho tunatengwa jamani sijui tutakuja kumbukwa lini kwenye jukwaa hili
huyo hapoSalama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.
Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.
Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.
Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.
Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Usimuhusishe mleta uz na ujinga wako, mleta uz nimemjibu ww, ukadandia mbele,Nikwambie hujui unachoongea bora ukae kimya maana ukizidi kupost unazidi kuufunua upumbavu wako.
Usihusishe hayo unayoyataja na ukristo, mlete mada haja taja madhebu yake so huna sababu ya kumrukia ...emu kaa kimya angalau ufiche upumbavu wako
Ni pm tu ili tuongee kwa kinaSalama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.
Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.
Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.
Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.
Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Wewe ni mmoja kati watu wenye upeo mdogo wa mambo kibaya zaidi unadhani unajua kila kitu kumbe unajichoresha tu, ukiandika utumbo hatuta kunyamazia bila kujali unamnukuu nani. Kwanza Leo ni sabato unafuata nini mtandaoni ? Nenda kasome lesson hukoUsimuhusishe mleta uz na ujinga wako, mleta uz nimemjibu ww, ukadandia mbele,
Sasa nakufunda adabu,
Au unadhan kujipendekeza kwa huyo mleta uzi ndio atakuchukua uwe mario?
Jamani hujasoma vizuri uzi?? mbona nimeandika ana mwaka mmojamleta mada umri wa mwano tafadhali au kaolewa /kaoa unaona aibu kutaja.weka wazi.
Leta andiko nisiingie mtandaoniWewe ni mmoja kati watu wenye upeo mdogo wa mambo kibaya zaidi unadhani unajua kila kitu kumbe unajichoresha tu, ukiandika utumbo hatuta kunyamazia bila kujali unamnukuu nani. Kwanza Leo ni sabato unafuata nini mtandaoni ? Nenda kasome lesson huko
Hapo kwenye kumaliza naye muda wa kuishi umenitisha sana mkuu
Umeathirika nini?
Nina 40 je na mimi hunitaki?Hapana.