Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
- Thread starter
- #281
Hivi kwani ukizaa na mtu lazima uoane nae??Hongera kwa kutafuta Mme wa kukuoa. Ila Binafsi na swali... Yule alie zaaa nae huyo mtoto mmeshindana nn mpaka asikuoe yeye!
Na kama hamkuoana basi mmeshindwana?