Natafuta mume "very serious"


Ningekua na mwili mkubwa ningekuoa
 
 
mmmmh hizo sifa mbona ninazo...
Ila umri mmmh, kazi, na hayo mahusiano uliopitia ni mtihani sasa.
 
Mi nataka uwe mchepuko wang tu ambaye utanizalia mtoto, npo tayar kulea maana kauwezo ninako kakubwa tu
 
saaafi sana me ni 27 harafu ni mkrsto ila sifa zote zingne ninazo, cjui unanfkriaje mana na mm natafuta kwel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…