Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

TUPIA KA PICHA TUTHAMINISHE
 
Swali la mwisho kabla sijafanya maamuzi:
Umeshatoa mimba ngapi?
Umesha date na wangapi?
 
Mhhhh!!!!! njoo tuonane kwanza aisee,unaweza nyonywa damu hivi hivi ukaiacha nchi hii hivihivi.
 
HR 666 chukua fursa hiyo achana na akina LadyAJ (https://www.jamiiforums.com/threads/wanaume-jf-mjiheshimu.1190234/)
 


Bibie, tafuta Kiserengeti chenye kujielewa.
 
Taswira yako please!
 
Kama mtu unawaza vizuri hii ni changamsha jukwaa tu hakuna mtu anayetaka mume hapa!! Ni kujichoresha tu na mtu mzima mwenye heshima zake hawezi kuja kutaka mke aliyejitangaza hapa na mkipatana ni muhuni+muhuni tu na maisha yaendelee ila sio kama mnavyowaza kwenye vichwa vyenu, mke bora humo hamna na atakayepatikana hatakuwa bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…