Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Fursa pendwa mm sijakidhi vigezo japo nataman sana kulelewa
 
Aisee kweli wee dada upo serious hata akauti hii uliifungua kwa ajili hiyo
 
Mama mtarajiwa una mambo sana.
Ngoja nikupe ushauri kidogo...usidanganyike na umri ktk mapenzi.

Binafsi nilikuwa na imani kama yako kuwa wanaume walioko kwenye 30's ndio wenye akili timamu za maisha na mapenzi lakini baada ya kuwa nao nimegundua hawana lolote kupitia mpenzi wangu wa sasa mwenye umri chini ya miaka 30.

Labda nawe uwe kwenye miaka ya 30 ila kama ni chini ya hapo my dear ondoa hiyo mentality haraka sana.

Otherwise, all the best.
Inategemea Nifah asee mi niko nae wa 20's mwenzangu yaani nataka kuhama nchi

Khaaa si kwa utoto toto huu...
 
Inategemea Nifah asee mi niko nae wa 20's mwenzangu yaani nataka kuhama nchi

Khaaa si kwa utoto toto huu...
Uwiiiiiii jamani pole mwaya.
Mimi namshukuru Mungu na Bold wangu tupo kwenye 20's zetu lakini ni kama tupo kwenye 30's maana sio kwa utulivu na kujielewa huku.

Nakuombea kheri dearest,huenda akatulia au ukiona hakuna dalili sepa mama b4 it's too late.
Huenda sipo unapotakiwa kuwepo.
 
Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.

Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa

Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado

ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
Mimi nikiruhusiwa natia mimba tuuu then naendelea na maisha yangu mengine.
Kwa hilo sina tatizo
 
Hahahahahahahahah aiseee sio baat yangu ila ningekuponza huwez amin nlipoona tu eti unanyumba nikawaza kuiuza
 
Kila jambo linahappen kwa reason watanzania kuweni waelewa
Kuna lengo ambalo hii headline imekusudia achen mama huyu apate kusudio la moyo wake
Kejeli hazijengi
 
Back
Top Bottom