Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,272
tehe tehe tehe hongera kweli jf kiboko yaoMungu ni mwema nilikutana na mpenzi wangu wa zamani humu tupo pamoja na valentine ipo safi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tehe tehe tehe hongera kweli jf kiboko yaoMungu ni mwema nilikutana na mpenzi wangu wa zamani humu tupo pamoja na valentine ipo safi kabisa
Mungu ni mwema nilikutana na mpenzi wangu wa zamani humu tupo pamoja na valentine ipo safi kabisa
Jinsi ulivoanza mapema hayo masimango huwezi pata mumeila hautaishi bure hapa kwangu .wala usitegemee kunidanganya kama wewe ni muongo nitakujua tu .kama huna mapenzi ya dhati unapenda mteremko bora usinitafute maana hapa sio mahali pake
Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
ila hautaishi bure hapa kwangu .wala usitegemee kunidanganya kama wewe ni muongo nitakujua tu .kama huna mapenzi ya dhati unapenda mteremko bora usinitafute maana hapa sio mahali pake
Wee unaoowanaume tunaangalia uzuri na mvuto pia..
Asante kwa mrejesho mpendwa,kila la kheri.nimempata ex wangu humuhumu nimeona nirudiane nae nimemuomba msamaha maana mimi ndo nilimuacha
Una kila kitu!!?kila kitu ninacho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wee unaoo
Kweli kabsaaHakuna jambo ngumu katika maisha kama kukosea kuoa ama kuolewa, kama ni jambo unalopaswa kumuomba mungu kwa nguvu kubwa basi ni suala la kupata mme /mke.
Asante.Asante kwa mrejesho mpendwa,kila la kheri.
Mfunge na ndoa kabisa tuje kuserebuka [emoji23]
tatizo haujibu pm hahaaaNahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
yapWee unaoo