Natafuta mume wa kujenga naye familia

Natafuta mume wa kujenga naye familia

achiiachii

Member
Joined
Sep 11, 2022
Posts
50
Reaction score
196
Habari, kama mnavyojua ili familia iitwe familia lazima ikamilike yaani baba na mama na watoto

Mimi ni mama wa miaka 29, elimu degree, nimeajiriwa na pia nimejiajiri, nina mtoto moja wa kiume. Natafuta mume wa kuwa naye kwenye maisha yangu yote, yaani mwanaume anayependa familia. Akiwa na mtoto au watoto itakuwa vizuri zaidi.

Mke wa pili nakubali ila nitaangalia na mazingira ya familia yake ya kwanza.

NB: Najua watu wabaya wapo mitandaoni hata mitaani wabaya wapo pia, nipo serious sitaki blaa blaa.

Aliyekuwa serious anakaribishwa.
 
Hii naitaka seriously. Ila sijui kwanini siamini kama upo serious. Wadada wengi wanaanzisha nyuzi afu wanaleta matani....mnachat wiku 4 mtu hatak kudisclose chochote

Dada nishakatia tamaa post hizi. Ila 29 ni ideal kwangu...unanifaa
 
Habar kama mnavyojua ili familia iitwe familia lazima ikamilike yaani baba na mama na watoto
Mimi mama wa miak 29 elimu degree nimeajiriwa pia nimejiajiri nina mtoto moja wa kiume. Natafuta mme wa kuwa naye kweny maisha yangu yote yaan mwanaume anayependa familia. Akiwa na mtoto au watoto itakuwa vzur zaidi
Mke wa pili nakubali ila nitaangalia na mazingira ya familia yake ya kwanza

NB najua watu wabaya wapo mitandaon hata mitaan wabaya wapo pia nipo serious sitak blaablaaa aliyekuwa serious anakaribishwa
Karibu sana,nipo mimi. Wewe tu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Habar kama mnavyojua ili familia iitwe familia lazima ikamilike yaani baba na mama na watoto
Mimi mama wa miak 29 elimu degree nimeajiriwa pia nimejiajiri nina mtoto moja wa kiume. Natafuta mme wa kuwa naye kweny maisha yangu yote yaan mwanaume anayependa familia. Akiwa na mtoto au watoto itakuwa vzur zaidi
Mke wa pili nakubali ila nitaangalia na mazingira ya familia yake ya kwanza

NB najua watu wabaya wapo mitandaon hata mitaan wabaya wapo pia nipo serious sitak blaablaaa aliyekuwa serious anakaribishwa
Bahati iliyoje hii
Mke huyu haihitaji sifa/vigezo vingiiiiiiiiii
 
Habar kama mnavyojua ili familia iitwe familia lazima ikamilike yaani baba na mama na watoto
Mimi mama wa miak 29 elimu degree nimeajiriwa pia nimejiajiri nina mtoto moja wa kiume. Natafuta mme wa kuwa naye kweny maisha yangu yote yaan mwanaume anayependa familia. Akiwa na mtoto au watoto itakuwa vzur zaidi
Mke wa pili nakubali ila nitaangalia na mazingira ya familia yake ya kwanza

NB najua watu wabaya wapo mitandaon hata mitaan wabaya wapo pia nipo serious sitak blaablaaa aliyekuwa serious anakaribishwa
Jaman mke ndo huyu sasa. Nna vigezo vyote aisee nakuja inbox
 
Habar kama mnavyojua ili familia iitwe familia lazima ikamilike yaani baba na mama na watoto
Mimi mama wa miak 29 elimu degree nimeajiriwa pia nimejiajiri nina mtoto moja wa kiume. Natafuta mme wa kuwa naye kweny maisha yangu yote yaan mwanaume anayependa familia. Akiwa na mtoto au watoto itakuwa vzur zaidi
Mke wa pili nakubali ila nitaangalia na mazingira ya familia yake ya kwanza

NB najua watu wabaya wapo mitandaon hata mitaan wabaya wapo pia nipo serious sitak blaablaaa aliyekuwa serious anakaribishwa
Mbona hujaweka vigezo vyako
 
Habar kama mnavyojua ili familia iitwe familia lazima ikamilike yaani baba na mama na watoto
Mimi mama wa miak 29 elimu degree nimeajiriwa pia nimejiajiri nina mtoto moja wa kiume. Natafuta mme wa kuwa naye kweny maisha yangu yote yaan mwanaume anayependa familia. Akiwa na mtoto au watoto itakuwa vzur zaidi
Mke wa pili nakubali ila nitaangalia na mazingira ya familia yake ya kwanza

NB najua watu wabaya wapo mitandaon hata mitaan wabaya wapo pia nipo serious sitak blaablaaa aliyekuwa serious anakaribishwa
Mungu akufanikishe ombi lako
 
Tatizo huyo mtoto ana jinsia ya kiume

Angekuwa wa kike na Mimi ningerusha ndoano[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom