Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
😅😅😅Nimeona hautanii,unamaanisha.
Ndoa ni utumwa.
Nipo tayar aje inboboWaislam wenzangu nawaomba huyu binti apatiwe stara.
Kaolewesina kazi vp utaweza kunilea.
😁Gari used bei cheee.
sina kazi vp utaweza kunilea.
HabariHabari, kama mnavyojua ili familia iitwe familia lazima ikamilike yaani baba na mama na watoto
Mimi ni mama wa miaka 29, elimu degree, nimeajiriwa na pia nimejiajiri, nina mtoto moja wa kiume. Natafuta mume wa kuwa naye kwenye maisha yangu yote, yaani mwanaume anayependa familia. Akiwa na mtoto au watoto itakuwa vizuri zaidi.
Mke wa pili nakubali ila nitaangalia na mazingira ya familia yake ya kwanza.
NB: Najua watu wabaya wapo mitandaoni hata mitaani wabaya wapo pia, nipo serious sitaki blaa blaa.
Aliyekuwa serious anakaribishwa.
Dah kumbe upo tayari hadi kuwa mke wa pili....kweli wee mwanamke unafaa kuwa mke. Njoo pm tuyajengeHabari, kama mnavyojua ili familia iitwe familia lazima ikamilike yaani baba na mama na watoto
Mimi ni mama wa miaka 29, elimu degree, nimeajiriwa na pia nimejiajiri, nina mtoto moja wa kiume. Natafuta mume wa kuwa naye kwenye maisha yangu yote, yaani mwanaume anayependa familia. Akiwa na mtoto au watoto itakuwa vizuri zaidi.
Mke wa pili nakubali ila nitaangalia na mazingira ya familia yake ya kwanza.
NB: Najua watu wabaya wapo mitandaoni hata mitaani wabaya wapo pia, nipo serious sitaki blaa blaa.
Aliyekuwa serious anakaribishwa.