Cheef Baroka
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 491
- 1,010
Hawa wa ivi mara nyingi huwa matapeli. Kuweni makini wakina pendapenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo kaoa ana maisha yakeMbona hujibu....Huyu Mtoto babake Yuko Wapi? Maana hapo ndipo Shida za Singo Maza Wengi huanziaga. Mara nyingi Mtoto huwa Chambo cha Kupasha Viporo....!
Aaaaamin ila pombe hapanaMungu akajibu haja ya moyo wako, akakupe yule akufaaye kwenye dhiki na raha.
Akawe faraja kwako, akakupende , akuheshimu na kukuthamini.
Ila kiukweli, sisi wanywaji tuna upendo Sana, hebu badilisha kidogo hiyo PGO yako
Aliyekwambia nani ACHA uongo na kuongea vitu ambavyo una uhakika navyo mwanamke anayeendelea kupasha viporo na huyo mzaz mwenzk Bado aja move onNi vigumu sana mwanamke kumkatalia mzazi mwenzie.
Nimekupenda sana,Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.
Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia
Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
hahaha utaelewa mitandao inapishana sn na uhalisia kwakwelHuweleweki Mbona 2020 ulikua na miaka 26.
2021 unamiaka 28View attachment 1949464
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hapa unasema Wewe sio mwanamke
[emoji116]
View attachment 1949466
Mbona mkorofi wewe [emoji23]Mume nipo hapa ushanipata, haya futa uzi tukaanze vikao vya harusi.
Bela kamwene mvinawilumba kiki Segito?
Basi tulia endelea kulea mtoto wako upate barakaYupo kaoa ana maisha yake
Hizo ni imani potofu mlizojiweka katik kudharau wanawake tu waliozaa hata ambao awajazaa mbona wanaendelea kupasha viporo na wapenz Wao wazamani
Mm Sio type hiyo ya kupashan viporo nimemove on na nilikosea kwenda tu siwez kukosea kurudi sawa ndugu
Na heri Mimi niliyezaa kuliko aliyetoa mimba hata tano watoto ni Baraka
Siku hizi umekuwa haemophrodite??Mume nipo hapa ushanipata, haya futa uzi tukaanze vikao vya harusi.
Hana ukorofi huyo ni haemophroditeMbona mkorofi wewe [emoji23]
hahahahaaSiku hizi umekuwa haemophrodite??
Shemale??
Unataka kumuingizia mwenzako mkuyenge au ni dildo??
Acha kumkatisha tamaaTanzania hakuna waoaji. Unatakiwa uhame nchi
Weka hapa cheti chako cha matokeo ya kumaliza kidato cha nneMimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.
Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia
Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
Hutaki nipate mke jamani[emoji2369][emoji2369]Mbona mkorofi wewe [emoji23]
[emoji41][emoji41][emoji41]Hutaki nipate mke jamani[emoji2369][emoji2369]