Natafuta Mume wa kunioa

Natafuta Mume wa kunioa

Binti 1

Member
Joined
Dec 1, 2018
Posts
30
Reaction score
65
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi.

Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao;

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
2. Awe mkristo.
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea.
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe.
5. Ajue kutafuta pesa.
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Njoo PM kama upo serious
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Ukishashindwana na wenye degree njoo kwa lasaba B tunakunoja🤣
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Kabila gani were uwe mkwel na uje pm Kam uko serious mnk mm pia Ni .mkkkt mzuri tu na ningependa nioe mke wa kutoka kkkt

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kila la heri Binti maana ukija kuvuka 30 ni shughuli pevu. Kwa miaka hii miwili jitunze. Punguza maringo, usomi usio na kichwa wala miguu, dharau, ufeminist na ego. Wekeza kwako ili uwe bora kabisa kwa kadri inavyowezekana kiroho, kimwili, kisaikolojia na hata kiuchumi.

Kila la heri [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Screenshot_20220811-171349_Instagram.jpg
 
U
Kila la heri Binti maana ukija kuvuka 30 ni shughuli pevu. Kwa miaka hii miwili jitunze. Punguza maringo, usomi usio na kichwa wala miguu, dharau, ufeminist na ego. Wekeza kwako ili uwe bora kabisa kwa kadri inavyowezekana kiroho, kimwili, kisaikolojia na hata kiuchumi.

Kila la heri [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Umempa ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom