Natafuta Mume wa kunioa

Natafuta Mume wa kunioa

Kila la heri Binti maana ukija kuvuka 30 ni shughuli pevu. Kwa miaka hii miwili jitunze. Punguza maringo, usomi usio na kichwa wala miguu, dharau, ufeminist na ego. Wekeza kwako ili uwe bora kabisa kwa kadri inavyowezekana kiroho, kimwili, kisaikolojia na hata kiuchumi.

Kila la heri [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Uzi ufungwe umemaliza kila kitu.
 
Kila la heri Binti maana ukija kuvuka 30 ni shughuli pevu. Kwa miaka hii miwili jitunze. Punguza maringo, usomi usio na kichwa wala miguu, dharau, ufeminist na ego. Wekeza kwako ili uwe bora kabisa kwa kadri inavyowezekana kiroho, kimwili, kisaikolojia na hata kiuchumi.

Kila la heri [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Safi kabisa mkuu imekaa poa sana.
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Vigezo vyako vyote havina mashiko lakini Masharti yako na,2 na 3 huenda utakaa sana na umri umeshakwenda kwa mtoto wa kike.
 
Back
Top Bottom