Wanaume wa humu ndiyo wanaume wa kitaa yaani no difference tena wa huku..ni nafuu zaidi.Wanaume wa kuoa humu hamna dada pambana na hali yako tu
Kuna kipindi niliona tangazo la kutafuta mume likanivutia kutokana na vigezo alivyoweka
Ikabidi niingie pm
Nikajieleza sana humo lakini sikujibiwa hata kidogo na siku zikaenda mpaka leo sikuwahi kujibiwa
Since the time sina Shobo na taka kama hizi
Naona tu ni stress zimewaleta humu hamna zaidi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Huyu kashiba balimi hana lolote huyu.Wanawake mnapoelekea mtaweka na kigezo kuwa mwanaume
Awe na 35+ na asiwe na Meno 32,yani awe hajatimiza idadi ya Meno
hivi serious nina miaka 38 nisisingiziwe hata mtoto,yani miaka yote
huko nilikuaga parokiani Mtakatifu Mavurunza ama nilikua nahudumu kama Katekista?
Dada mimi sina mpenzi ila nina watoto 3, Mimba 4, na nataka mkee,kimaukweli ukwelii ujueee...
Kwa hivyo vigezo na hiyo seriousness naona jinsi miaka itakavyosogea unsuccessfullyNina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.
Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.
Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Walimfanyia maombi wakala tunda kimasihara 🤣🤣Walikufanya nin walokole watu wa mungu we mrembo.
Mungu akujaalie hitaji la moyo wako mpendwa...mwaka usiishe huuNina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.
Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.
Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Dada, wanawake Wengi mnatongozwa sana, hivyo mnajiona special, mnahis kuwa mna options nyingi na uwezo wa kupata mwanaume yoyote mnaemtaka, na mnahis mnaeza pata any high value man, kwa vigezo ulivoweka naona hiyo ndo moja ya sababu ambayo imekufanya hujaolewa hadi umefika miaka 34, the thing is unachagua sana, its almost like unataka a perfect man, top 1% man.. kwenye usichana wako huenda ulitongozwa na wanaume wenye nia njema ya kukufanya mke lakini ukawa kataa, kuwa realistic mwanaume gani wa kawaida mwenye kipato chake, miaka 38 hana mtoto/familia?, labda chizi..Uongo nimepima
Una watoto wangapi?.Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.
Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.
Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
36 inafaa.Mie Sina mtoto
Huyu home atakuwa Rchuga.Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.
Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.
Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Wewe una miaka 34 una mtoto, halafu yeye awe na miaka 38 hadi 43 halafu asiwe na mtoto!!! Makubwa haya.Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.
Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.
Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Hajawahi kupata mchumba anayempenda hadi umri huu kwa hiyo ameona isiwe tabu ngoja aingie mwenyewe kutafuta huruma inahitajika dada yetu asijezeeka bila kuolewa maanaNina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.
Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.
Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Amesema mtoto hana.Wewe una miaka 34 una mtoto, halafu yeye awe na miaka 38 hadi 43 halafu asiwe na mtoto!!! Makubwa haya.
Meno pause ni 45yrs limit.Uongoo my sister kaolewa 45 na anawatoto 3 nasasa ana 55 na yupo fiti
Mpandie PM muyajenge kisha leta mrejeshoUna kamoyo kazuri kweli we jamaa,afu mpole kweli..... Yaan usinglemom huu unanipotezea vijana wazuri kweli
Salaale🤣Wanawake mnapoelekea mtaweka na kigezo kuwa mwanaume
Awe na 35+ na asiwe na Meno 32,yani awe hajatimiza idadi ya Meno
hivi serious nina miaka 38 nisisingiziwe hata mtoto,yani miaka yote
huko nilikuaga parokiani Mtakatifu Mavurunza ama nilikua nahudumu kama Katekista?
Dada mimi sina mpenzi ila nina watoto 3, Mimba 4, na nataka mkee,kimaukweli ukwelii ujueee...
Teh teh teh 😂😂😂 walokole tumeshakosa mke hapa.... anyway tutapata kwingine.Dah nimeokoka juzi tu hapa. Anyway, acha wasio okoka waje