Natafuta mume wa kweli

Natafuta mume wa kweli

Wanawake mnapoelekea mtaweka na kigezo kuwa mwanaume

Awe na 35+ na asiwe na Meno 32,yani awe hajatimiza idadi ya Meno

hivi serious nina miaka 38 nisisingiziwe hata mtoto,yani miaka yote

huko nilikuaga parokiani Mtakatifu Mavurunza ama nilikua nahudumu kama Katekista?

Dada mimi sina mpenzi ila nina watoto 3, Mimba 4, na nataka mkee,kimaukweli ukwelii ujueee...
 
Wanaume wa kuoa humu hamna dada pambana na hali yako tu

Kuna kipindi niliona tangazo la kutafuta mume likanivutia kutokana na vigezo alivyoweka
Ikabidi niingie pm
Nikajieleza sana humo lakini sikujibiwa hata kidogo na siku zikaenda mpaka leo sikuwahi kujibiwa
Since the time sina Shobo na taka kama hizi
Naona tu ni stress zimewaleta humu hamna zaidi


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wanaume wa humu ndiyo wanaume wa kitaa yaani no difference tena wa huku..ni nafuu zaidi.
 
Wanawake mnapoelekea mtaweka na kigezo kuwa mwanaume

Awe na 35+ na asiwe na Meno 32,yani awe hajatimiza idadi ya Meno

hivi serious nina miaka 38 nisisingiziwe hata mtoto,yani miaka yote

huko nilikuaga parokiani Mtakatifu Mavurunza ama nilikua nahudumu kama Katekista?

Dada mimi sina mpenzi ila nina watoto 3, Mimba 4, na nataka mkee,kimaukweli ukwelii ujueee...
Huyu kashiba balimi hana lolote huyu.
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Kwa hivyo vigezo na hiyo seriousness naona jinsi miaka itakavyosogea unsuccessfully
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Mungu akujaalie hitaji la moyo wako mpendwa...mwaka usiishe huu
 
Uongo nimepima
Dada, wanawake Wengi mnatongozwa sana, hivyo mnajiona special, mnahis kuwa mna options nyingi na uwezo wa kupata mwanaume yoyote mnaemtaka, na mnahis mnaeza pata any high value man, kwa vigezo ulivoweka naona hiyo ndo moja ya sababu ambayo imekufanya hujaolewa hadi umefika miaka 34, the thing is unachagua sana, its almost like unataka a perfect man, top 1% man.. kwenye usichana wako huenda ulitongozwa na wanaume wenye nia njema ya kukufanya mke lakini ukawa kataa, kuwa realistic mwanaume gani wa kawaida mwenye kipato chake, miaka 38 hana mtoto/familia?, labda chizi..

Kwa umri ulio nao kwenye usichana wako, wanaume uliowapenda wamekuchezea wakakuacha, sasa unatafuta mwanaume bwege ambae hujavutiwa nae ili akuhudumie kipesa tecknologia23
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Una watoto wangapi?.
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Huyu home atakuwa Rchuga.
 
Vigezo vimenikataa:
-Kwenye umri hola
-Elimu hola
-Kipato haijulikani kma nimekuzidi maana haujaweka wazi kiwango.

Punguza vigezo[emoji16]
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Wewe una miaka 34 una mtoto, halafu yeye awe na miaka 38 hadi 43 halafu asiwe na mtoto!!! Makubwa haya.
 
Miaka 38-43 asiwe na mtoto!!? Dada unatafuta mgumba mwenzio au?
Umuri umeenda hivyo una masharti lundo je ungekuwa na umuri sahihi wa kuolewa masharti yangekuaje?
Hata uwe seriously kiasi gani kwa masharti hayo endelea kuboresha chumba chako.
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Hajawahi kupata mchumba anayempenda hadi umri huu kwa hiyo ameona isiwe tabu ngoja aingie mwenyewe kutafuta huruma inahitajika dada yetu asijezeeka bila kuolewa maana
Wewe una miaka 34 una mtoto, halafu yeye awe na miaka 38 hadi 43 halafu asiwe na mtoto!!! Makubwa haya.
Amesema mtoto hana.
 
Wanawake mnapoelekea mtaweka na kigezo kuwa mwanaume

Awe na 35+ na asiwe na Meno 32,yani awe hajatimiza idadi ya Meno

hivi serious nina miaka 38 nisisingiziwe hata mtoto,yani miaka yote

huko nilikuaga parokiani Mtakatifu Mavurunza ama nilikua nahudumu kama Katekista?

Dada mimi sina mpenzi ila nina watoto 3, Mimba 4, na nataka mkee,kimaukweli ukwelii ujueee...
Salaale🤣
 
Kumekucha...wakuu njoon mpge usahili huku....mimi msukuma wa watu sina hata kigezo kimoja mentioned hapo!!....lekaji bhabehi
 
Back
Top Bottom