CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Wanawake mnapoelekea mtaweka na kigezo kuwa mwanaume
Awe na 35+ na asiwe na Meno 32,yani awe hajatimiza idadi ya Meno
hivi serious nina miaka 38 nisisingiziwe hata mtoto,yani miaka yote
huko nilikuaga parokiani Mtakatifu Mavurunza ama nilikua nahudumu kama Katekista?
Dada mimi sina mpenzi ila nina watoto 3, Mimba 4, na nataka mkee,kimaukweli ukwelii ujueee...
Awe na 35+ na asiwe na Meno 32,yani awe hajatimiza idadi ya Meno
hivi serious nina miaka 38 nisisingiziwe hata mtoto,yani miaka yote
huko nilikuaga parokiani Mtakatifu Mavurunza ama nilikua nahudumu kama Katekista?
Dada mimi sina mpenzi ila nina watoto 3, Mimba 4, na nataka mkee,kimaukweli ukwelii ujueee...