Natafuta mume wa kweli

Natafuta mume wa kweli

Umesema una hitaji mwanaume asiye na elimu sana yqani asizidi diploma ila awe amekuzidi kipato ..... ushauri wangu kwa umri ulio nao mwombe MUNGU umpate anaye pumua tu ....mengine yote majaliwa kuna watoto wa 2000 .... wamenyoooka balaa na hawajaolewa .... punguza vigezo umeweka vingi sana
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Njoo pm faster.. nina sifa zote hizo
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole ,  awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Umeleta u-feminist mpaka red light imewaka sasa unataka mwanaume ila asiwe na elimu sawa na yako.

Unatafuta mdoli?haiyumkiniki miaka yote hii ulikuwa unachagua mume kwa vigezo vya kipumbavu kama hivi na nakwambia hutampata!
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Yani apo wewe
1. Unataka mume
2. Unataka mkristo
3. Unataka elimu tofauti na diploma
4. Unataka mwenye kazi
5. Unataka mkarimu
6. Unataka muelewa
7. Unataka mwenye heshima
8. Hutaki mwenye wivu
9. Hutaki mwenye mtoto/watoto
10. Unataka mwenye umri 38-43
11. Unataka asiwe mrefu zaidi.
Nakukumbusha tu yani hapo unataka wanaume 11 tofauti.
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
all the best, kuna mbaba alikua anatafuta mke na yeye uzi waje wa kizungu kamjaribu huyo mnaeza mkaendana
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Ujana kisheria mwisho miaka 35, ujana wako ulikula na nani!?
 
Back
Top Bottom