tecknologia23
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 259
- 382
- Thread starter
- #81
SimtakiKama kimombo kinapanda kuna jamaa alileta uzi nafikiri atakufaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SimtakiKama kimombo kinapanda kuna jamaa alileta uzi nafikiri atakufaa.
Wengi tu mkuu,wakati utasemaTumetofautiana ila hatujui kesho itatulrtea nini, ntaoa yeyote nikiwa na utayari wa kufanya hivyo. Mbona single moms wanaolewa wengi tu
Hapana dear mbona wako poa tuNdani utauona moto
Masanja🤣🤣🤣🤣🤣Hapana dear mbona wako poa tu
Ujamuona Masanja, Dr Mauki,
🤣🤣🤣🤣Simtaki
Yeah,angekubali mwenye mtotoMwanaume wa 40+ anakufaa sana, shida tu ni kuwa hawezi kukosa watoto kwa umri huo. Endelea kuomba na kusubiri.
Yeuwiii umeanza kuchaguaSimtaki
Mkuu hivi ukiwa na miaka 40 kwa Mwanaume nyie wanawake uwa mnawachukuliaje ?Yeah,angekubali mwenye mtoto
Hakika kila mtu atapata kile anachostahili maishani ni kupokea kwa moyo mmoja na kuridhikaWengi tu mkuu,wakati utasema
Hii convo inapendeza ikiwa PM😜😜Una kamoyo kazuri kweli we jamaa,afu mpole kweli..... Yaan usinglemom huu unanipotezea vijana wazuri kweli
Namalizaga hapahapa mkuu🤭Hii convo inapendeza ikiwa PM😜😜
Miaka 34Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.
Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.
Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Wanga tupo ujuee...Namalizaga hapahapa mkuu🤭
Nimekumiss mtu wanguUna kamoyo kazuri kweli we jamaa,afu mpole kweli..... Yaan usinglemom huu unanipotezea vijana wazuri kweli
Mi sitaki Bwana humu..yupo huku kitaa ananikwangua balaa😋Wanga tupo ujuee...
Nipo nimejaa tele....mambo yanaenda ?Nimekumiss mtu wangu
Nafurahi kusikiaNipo nimejaa tele....mambo yanaenda ?