Natafuta mume wa mtu

Haaaa we mama huogopi kuganda kama yaliowakuta wale wa Temeke ?
 
Hapo kwenye bold, uwezo wa kupiga bao nyingi au..???
 
Uko wapi nikufate? Me mume wa m2 na najali familia yangu bt naweza kukupa huduma.
 

Umempata kama bado nipo mie, nina mke pesa sina ila uwezo wa kukutunza ninao niambie unapatikana pande ipi ya nchi mie niko Mbeya kikazi
 
Mume wa mtu ugonjwa wa moyo, labda kama hao wake hawajui kumlilia Mungu wao. Ndugu subiri wako anatengenezwa.
 
Huwa napenda kuiweka karibu movie moja ya Beyonce na Idriss Elba inaitwa Obsessed.

Nikikutana na mambo kama haya naenda kuangalia tena na tena na tena huwa siichoki!
 
ngoja uje upigwe hadi unye,huogopi mume wa mtu? Ni sumu,ngoja uone,zako zimekaribia kuisha wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…