Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye bold, uwezo wa kupiga bao nyingi au..???Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu
1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa
Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.
Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.
Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu
1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa
Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.
Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.
ngoja uje upigwe hadi unye,huogopi mume wa mtu? Ni sumu,ngoja uone,zako zimekaribia kuisha wewe!nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu1. Hawajui kujali2. Hawajui mapenzi3. Wanapenda kutunzwanataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.kama uko serious ni pm tuanze mchakato.
2kuite malaya au kahaba[/QUOTE
Mkuu kutembea na mke wa mtu ni ukahaba? Mbona kuna wanawake wenye uwezo kiuchumi wanatembea na wake za watu na wanagharimia kila kitu?