Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HiBora yako wewe hujaweka mambo mengi kwa yule umtakakaye utafanikiwa uwe na subra
tabia yako mbayawanawake wazuri wazuri wameolewa, yamebaki manungayembe yanahangaika *2
Halafu awe na nyoka. Baaaas.Umri wa kuweka vigezo umeshampita, na akiendelea kidogo ht kigezo cha angalau form six kitafutika kitabaki m'ume yeyote ili mradi anavaa suruali..
Naomba no yako tuwasilianeMimi ni msichana Mweny umri 31.Elimu Degree, nimeajiriwa serikalin, na nimkristo.
Nahitaj mwanaume ambaye Yupo tayar kuanzisha familia, awe na umri kati 31-45.Elimu angalau kidato cha sita na kuendelea. Njoo pm
una mtonyo, ?Mimi ni msichana Mweny umri 31.Elimu Degree, nimeajiriwa serikalin, na nimkristo.
Nahitaj mwanaume ambaye Yupo tayar kuanzisha familia, awe na umri kati 31-45.Elimu angalau kidato cha sita na kuendelea. Njoo pm
chezea umri ww kwa binti ukisonga sana!!![emoji2] [emoji2] .-->at least vigezo vimepunguzwa hongera dadaa /
(ini salim's vois)Uwe mke wa nne xawa xawa
akatujengee ukuta tu huyu!!Kama umedanganya kwenye profile basi we ni muongo na haufai kuwa mke
Jf ni kichaka kinene kama sio msitu kabisa, Kuna watu humu ndani wanaheshimika kwa uamdishi wao na kukashfiwa kwa pumba zaoNahisi Jengo ni lile lile tu ila sasa hivi limepakwa rangi mpya.... Joined. july 18,2016.