Natafuta mume

Waajiriwa wa Serikalini wengi brain zao zimelala
 
Namba yangu.. Bashite 715 bashite bashite 12 6 bashite... Nichek plz
 
Mimi ni msichana mwenye umri 31. Elimu Degree, nimeajiriwa serikalini, na ni mkristo.

Nahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia, awe na umri kati 31-45.Elimu angalau kidato cha sita na kuendelea.

Njoo pm.
Umeazaliwa 1969 , Leo unadai una miaka 31. Kuwa mkweli basi uni PM. Hata Mimi natafuta,47 si kitu mradi tukubaliane tujenge maisha
 
Mimi ni msichana mwenye umri 31. Elimu Degree, nimeajiriwa serikalini, na ni mkristo.

Nahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia, awe na umri kati 31-45.Elimu angalau kidato cha sita na kuendelea.

Njoo pm.
Mimi pia natafuta mke...... Kama upo tayar nitumie namba yako au email yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…