Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Ha ha ha ndio maana staki uwepo kumbe snitch tu wewemm nataka niwe msindikizaji wako ili ukitolewa nje nibaki nacheka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ndio maana staki uwepo kumbe snitch tu wewemm nataka niwe msindikizaji wako ili ukitolewa nje nibaki nacheka tu
ha ha ha na nitakuwepo tu ata ukikataa nakuja kukusindikizaHa ha ha ndio maana staki uwepo kumbe snitch tu wewe
Utanitag basi...kweli aisee ata mm nataka nilete bandiko langu humu
Ngoja nijiandae Kwa hilo bandiko lakousijari soon bandiko linakuja
af tayar unaharbu unajua anaweza asione kama niko seriusha ha ha na nitakuwepo tu ata ukikataa nakuja kukusindikiza
nitakutag usijariUtanitag basi...
jiandae tuNgoja nijiandae Kwa hilo bandiko lako
huyu achana nae si unaona kuna mtu ameleta uzi wake wa mwanzoaf tayar unaharbu unajua anaweza asione kama niko serius
Dinii muhimu mdogo wangu otherwise mizinguo tu, mwanzoni mtajifanya Dini sio issue lakini I tell baadae dini ndio kila kitu ..... sema dini ni gani vijana wezio wapo kede kede
Anacheza na vichwa vya JF anafikili atobainika na ukich#eche# wake..Wakuu pitieni hii post mtagundua huyu ni mbabaishaji![emoji116]
Natafta mchumba awe mume wa baadae
Hii picha yake alipost alipo anza kutumia hiyo Id
![]()
mm sijui hata namna ya kumcheki mtu pm msaada tafadhaliMimi ni binti wamiaka 24, elimu yangu ni diploma ya nursing nimejitokeza kwenu wanajamii, nilikuwa natafuta mume alieko siriaz na ndoa nasio kuumizana, sichagui dini lakini awe anajishughulisha na shughuli yoyte yabkumuingzia kipato pia anizidi umri kuanzia miaka 25 kuendelea.
Alieko tiyari naomba uje pm tuzungumze.
Note; Utani siitaji kwasababu nipo siriaz zaidi mnavyofikiria sababu niko siriaz sana.