Natafuta mume

Dinii muhimu mdogo wangu otherwise mizinguo tu, mwanzoni mtajifanya Dini sio issue lakini I tell baadae dini ndio kila kitu ..... sema dini ni gani vijana wezio wapo kede kede

Kweli kabisa ugumu wa ndoa Unakuja Kwenye Dini Hasa kwa watoto
 
~~~>>>>>Naomba nafasi ya kukaimu hiyo nafasi wakati unamsaka wako wa Milele.........

~~~>>>>..... Nakuahidi kukupatia Penzi lililotukuka............
 
mm sijui hata namna ya kumcheki mtu pm msaada tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…