bundalamoe
Member
- Apr 10, 2017
- 17
- 17
Ninazo Sifa hizi vipi utakubaliWapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
- Nina umri wa miaka 37
- Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
- Naishi Dar na ninajitegemea
- Ni mjasiriamali
- Nimelelewa kwenye familia ya Islam
- Elimu yangu ni kidato cha nne
- Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
- Awe na miaka 45 na kuendelea
- Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
- Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
- Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
- Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Msema kweli mpenzi wa MUNGU.Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
- Nina umri wa miaka 37
- Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
- Naishi Dar na ninajitegemea
- Ni mjasiriamali
- Nimelelewa kwenye familia ya Islam
- Elimu yangu ni kidato cha nne
- Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
- Awe na miaka 45 na kuendelea
- Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
- Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
- Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
- Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kuolewa n bahati mkuu wengine wameandikiwa kucheza kwaito kwenye harusi za wenzao, wengine kuolewa
kaka thio mimi [emoji85] shikamoo kaka tumekumiss jamaan[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shenzzzz wewe dadangu
Sizonje ni nini? Hili neno naliona ila sijui maana yake, msaada plse..!!Iyo age inakaribiana na ya Sizonje,ongea nae anaweza kukufanyia maarifa kwa wadogo zake.
Ohooo, weekend hii jmnkaka thio mimi [emoji85] shikamoo kaka tumekumiss jamaan
heri ya pasaka tunajua wii kakubana leo usitoke
mbona sasa umetususa leo jamaanOhooo, weekend hii jmn
Pambanua zaidi unataka timu vibamia au mkono wa mtoto?Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
- Nina umri wa miaka 37
- Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
- Naishi Dar na ninajitegemea
- Ni mjasiriamali
- Nimelelewa kwenye familia ya Islam
- Elimu yangu ni kidato cha nne
- Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
- Awe na miaka 45 na kuendelea
- Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
- Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
- Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
- Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Leo endeleeni jmnmbona sasa umetususa leo jamaan
mbona kila sehem unaulizia chura rafiki unataka ukavumbue nnChura ipo?[emoji1][emoji1][emoji1]
kwahiyo leo hauji kabisaLeo endeleeni jmn
Rafiki mimi nina miaka 40 bado sijaoa nimegundua kuwa napoteza mda mwingi kutafuta na kuchagua chura!!mbona kila sehem unaulizia chura rafiki unataka ukavumbue nn
kwahiyo chura tena hutakiRafiki mimi nina miaka 40 bado sijaoa nimegundua kuwa napoteza mda mwingi kutafuta na kuchagua chura!!
Rafiki nimejitahidi nimeshindwa kutoka kwenye huo mtego wa kupenda chura!!........bado nataka chura!!kwahiyo chura tena hutaki