Natafuta mume

Natafuta mume

Mwanamke wa kiislamu anayeukataa uke wenza haifahamu dini yake.

Unakuta mwanamke haitaji uke wenza ila yupo tayari kutembea na mume wa mtu na kuhudumiwa kila kitu (eti wenyewe wanadai kuwekwa mjini) na ndoto zao wapate wanaume walio wao pekee ikiwa wao wanatembea na waume za wanawake wenzio haya ni maajabu yasiyo na mfano.

au mwingine yupo tayari aolewe kwa siri ndugu zake wasijue lah...
 
Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;

  1. Nina umri wa miaka 37
  2. Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
  3. Naishi Dar na ninajitegemea
  4. Ni mjasiriamali
  5. Nimelelewa kwenye familia ya Islam
  6. Elimu yangu ni kidato cha nne
  7. Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
  • Awe na miaka 45 na kuendelea
  • Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
  • Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
  • Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
  • Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
Ninazo Sifa hizi vipi utakubali
1kubadili dini?
2kuwa chini yng
3staki kuzaa tena Upo tayari kukaa bila mtoto
 
Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;

  1. Nina umri wa miaka 37
  2. Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
  3. Naishi Dar na ninajitegemea
  4. Ni mjasiriamali
  5. Nimelelewa kwenye familia ya Islam
  6. Elimu yangu ni kidato cha nne
  7. Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
  • Awe na miaka 45 na kuendelea
  • Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
  • Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
  • Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
  • Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
Msema kweli mpenzi wa MUNGU.
Angalia masharti uliyoweka,na umri wako ndo unakuacha.
MUNGU AKUJALIE TUU
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shenzzzz wewe dadangu
kaka thio mimi [emoji85] shikamoo kaka tumekumiss jamaan
heri ya pasaka tunajua wii kakubana leo usitoke
 
Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;

  1. Nina umri wa miaka 37
  2. Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
  3. Naishi Dar na ninajitegemea
  4. Ni mjasiriamali
  5. Nimelelewa kwenye familia ya Islam
  6. Elimu yangu ni kidato cha nne
  7. Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
  • Awe na miaka 45 na kuendelea
  • Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
  • Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
  • Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
  • Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
Pambanua zaidi unataka timu vibamia au mkono wa mtoto?
 
Back
Top Bottom