hahahhh kwahiyo rafiki ukipata utatoka kwenye mtegoRafiki nimejitahidi nimeshindwa kutoka kwenye huo mtego wa kupenda chura!!........bado nataka chura!!
Usishangae.. Watu wamechoka kuitwa MAJI YA KUNDE siku hiz.. Wamebuni yangu yao mpya kuleta utofaut..Mungu akusaidie hitaji lako dada
hiyo rangi ya maharage ndio rangi gani
I meant wamebuni rangi yao...Usishangae.. Watu wamechoka kuitwa MAJI YA KUNDE siku hiz.. Wamebuni yangu yao mpya kuleta utofaut..
Bip ug wabongo kwa ubunifu uliotukuka
Dah...tulipkuwa above tunapitwa na mambo.....Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
- Nina umri wa miaka 37
- Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
- Naishi Dar na ninajitegemea
- Ni mjasiriamali
- Nimelelewa kwenye familia ya Islam
- Elimu yangu ni kidato cha nne
- Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
- Awe na miaka 45 na kuendelea
- Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
- Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
- Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
- Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Rafiki napata sana shida kupata chura!!.........Hii kitu inanizuia kuoa sijui hata nifanyeje!!hahahhh kwahiyo rafiki ukipata utatoka kwenye mtego
me nakuombea upate ukipata niletee mrejesho
Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
- Nina umri wa miaka 37
- Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
- Naishi Dar na ninajitegemea
- Ni mjasiriamali
- Nimelelewa kwenye familia ya Islam
- Elimu yangu ni kidato cha nne
- Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
- Awe na miaka 45 na kuendelea
- Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
- Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
- Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
- Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
mamboooWapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
- Nina umri wa miaka 37
- Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
- Naishi Dar na ninajitegemea
- Ni mjasiriamali
- Nimelelewa kwenye familia ya Islam
- Elimu yangu ni kidato cha nne
- Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
- Awe na miaka 45 na kuendelea
- Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
- Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
- Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
- Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Nipo hapa ondoa hofuWapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
- Nina umri wa miaka 37
- Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
- Naishi Dar na ninajitegemea
- Ni mjasiriamali
- Nimelelewa kwenye familia ya Islam
- Elimu yangu ni kidato cha nne
- Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
- Awe na miaka 45 na kuendelea
- Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
- Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
- Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
- Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Mungu akusaidie hitaji lako dada
hiyo rangi ya maharage ndio rangi gani
Nakubaliana na ww, maana kuna watu wameolewa ukijiuliza ni vigezo gn vimempa hyo fursa hupati jibu, japokuwa kuna wale ving'ang'anizi ambao ameshasoma alama za nyakati, anatembea na ww kw target, ukimtia mimba tu ye anaihesabu ni ndoa coz hatoi na hana mpango mbadala....fasta anajipeleka kujitambulisha ht km hujamtambulisha anawatafuta ndg zako walipo na kuanza kujiweka karibu, utasandrra!!!na bahati pia inachangia kaka unaweza ukafanya vyote hivyo na kuolewa usiolewe
Imani dhaifu amejisemea ukweliWe si muislam mbn hutaki kuwa nyumba ndogo sasa hahaha
Kama huna sifa au unatafuta mtu wa kujitimizia haja ya mwili wako naomba ukae pembeniWapendwa
Najitokeza tena kwenye jukwaa hili, kuchukua hii fursa ya kujitafutia mwenza aliyeko tayari kuanza maisha;
sifa zangu;
Napendelea Mume ninaye muhitaji awe na sifa hizi;
- Nina umri wa miaka 39
- Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
- Naishi Dar na ninajitegemea
- Ni mjasiriamali mdogo
- Nimelelewa kwenye familia ya Kiislam
- Elimu yangu ni kidato cha nne
- Nina mwili wa kawaida, rangi ya maji ya kunde/mweusi
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
- Awe na umri wa 45 na kuendelea (Sifa za umri na dini ni Muhimu kwangu)
- Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
- Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
- Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
- Awe tayari kuoa na sio kuchezeana au kupotezeana muda