Natafuta mume

eti nipo above 30 ningekuwa above ningekuja na vigezo vyote hivyo ukiona hivyo it means I am still young that's why sihitaji bora mume ila mume bora
Hutakaa umpate...afu mbona unadharau proffessional za watu?...Eti sitaki mwl yeyote yule....
Kuna Ma-lecturers(Prof,Dr) nao ni walimu...
You seem to be too low.
 
mwanamke degree holder huna mpenzi aibu,unaaibisha hako ka dgree kako aisee
 
karibu,nipigie
 
Masharti kibao utadhani naandikishwa kwenda peponi. Kwani wewe dada kwa mwezi unaingiza shingapi?? Halafu ndoa sio biashara kwamba inakuja na faida. Weka picha tukutathmini wewe ni bei gani
 
value ya mwanamke sio elimu wala uzur alio nao wala contour figure aliyo nayo but upendeleo udanganya na uzuri ni ubatili bali mwanamke. amchaye BWANA ndiye atakayesifiwa
 
we mdada utakua na kisirani,,majibu yako tu kwanza nani atadhubutu...
 
NADHANI wewe unatafuta shamba la bibi ili uvune utakavyo,mume ni ghali kuliko hayo unayotaka,HAUFAI KUWA HATA MSAIDIZI WA MKE, MAANA sifa ya mke ni uvumilivu,mapema tu unaonekana hauna wala haujui sifa hizo,NAKUSHAURI tu, INAONEKANA wewe ni kahaba,fungua Night club yako hao wenye masters na 1m za UHAKIKA labda watakuja kukuchukua usiku ,ASUBUH unarudi!
 
Ungekuwa wa thamani kubwa kiasi hicho cha kustahili mwenye vigezo vyote hivyo, ungekuwa umeshaolewa. Ukiona biashara inatangazwa sana ujue imedoda. We subiri kumegwa tu, huna dili.
 
Mimi nafikiri ni vizuri watu wakubali kutofautiana
  • Sifa alizotoa huyo dada ndizo hizo anazohitaji; Sasa kwa nini unataka aandike sifa zako unazo hitaji wakati kila mtu anauchaguzi wa anacho kihitaji/kipenda?
  • Kama na wewe ni muhitaji kwa nini usiandike tangazo lako ukaweka Sifa unazopenda ambazo ni rahisi kumpata umpendaye?
  • Natamani sana kuona watu wakiheshimu mawazo ya mtu hasa kama hayana madhara yoyote; Si unapita tu kama haikuhusu....shida iko wapi??
  • Mimi mwenyewe napotezea hapa japo sijafurahishwa na watu wanavyoponda as if ni lazima ku comment!!!
 
Ni vizuri Aombe ushauri na uzoefu kwa miss natafuta na kwa single monthers!
 
kama umekosa kote kwenye makundi yote, I mean, Uliposoma, kanisani, Mtaani, Kazini, Kwenye Mahotel yote, then waja hapa na masharti kibao??????? Hemu jitafakari tena Dada yangu.
Hufai kabisa umesema mkristu wa aina yeyote then msabato haruhusiw
 

Afu nani alimwambia mume ndo vitu alivotaja apo angejua kuna watu wana waume zaidi ya izo sifa lakin wanaish Kama awana Mme,anyway nisimkatishe tamaa,..yesu alisema kile ukiombacho amini ushakipata,..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…